Mark 14:17-18

17 aIlipofika jioni, Yesu akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili. 18 bWalipoketi mezani wakila, Yesu akawaambia, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti, mmoja anayekula pamoja nami.”

Copyright information for SwhNEN